Ninapenda Kwenda Shuleni
KSh 180.00
Mpango wa kusoma wa Boma ni mfululizo wa vitabu vya kuburudisha na kuelimisha. Vimelengwa kumsaidia mwanafunzi kujifunza stadi mbalimbali za lugha. Pia vinampa maarifa mengi. Vimeandikwa kufuatana na maelekezo ya silabasi. Mwanafunzi anashauriwa asome vitabu vingi iwezekanavyo katika mfululizo huu.
Description
Mpango wa kusoma wa Boma ni mfululizo wa vitabu vya kuburudisha na kuelimisha. Vimelengwa kumsaidia mwanafunzi kujifunza stadi mbalimbali za lugha. Pia vinampa maarifa mengi. Vimeandikwa kufuatana na maelekezo ya silabasi. Mwanafunzi anashauriwa asome vitabu vingi iwezekanavyo katika mfululizo huu.
Be the first to review “Ninapenda Kwenda Shuleni”