Ninapenda Kwenda Shuleni

KSh 180.00

Mpango wa kusoma wa Boma ni mfululizo wa vitabu vya kuburudisha na kuelimisha. Vimelengwa kumsaidia mwanafunzi kujifunza stadi mbalimbali za lugha. Pia vinampa maarifa mengi. Vimeandikwa kufuatana na maelekezo ya silabasi. Mwanafunzi anashauriwa asome vitabu vingi iwezekanavyo katika mfululizo huu.

SKU: ISBN: 978-9966-05-586-6
Category:
Tags:

Description

Mpango wa kusoma wa Boma ni mfululizo wa vitabu vya kuburudisha na kuelimisha. Vimelengwa kumsaidia mwanafunzi kujifunza stadi mbalimbali za lugha. Pia vinampa maarifa mengi. Vimeandikwa kufuatana na maelekezo ya silabasi. Mwanafunzi anashauriwa asome vitabu vingi iwezekanavyo katika mfululizo huu.

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Ninapenda Kwenda Shuleni”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related products